Mwenyekiti wa Kamati ya Watalaam wa Fedha, Uchumi, Mipango na
Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa AU na EAC Dkt. Hamisi
Mwinyimvua ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha akiwasilisha
ripoti ya kamati hiyo kwenye Mkutano wa Mawaziri wa
Fedha,Uchumi,Mipango na Ushirikiano wa Kikanda unaoendelea Mjini
AddisAbaba –Ethiopia.
Mwenyekiti wa Mkutano wa Mawaziri wa Fedha, Uchumi, Mipango na
Ushirikiano wa Kikanda kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na
kamisheni ya Uchumi ya Afrika (EAC) Dkt. Hamisi Mwinyimvua akiongoza
Mkutano huo wakati wa uwasilishaji wa ripoti ya Watalaam kwenye Ukumbi wa
‘United National Conference Centre’ Mjini Addis Ababa – Ethiopia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...