Ankal akiwa na Mkurugenzi Mkuu MD wa Michuzi Media Group Mama Sellah (kulia kwake) pamoja na kikosi kazi cha Team Michuzi Production chini ya Production Manager Barbra Kilugira (wa tatu kushoto) ambayo ilipata heshima ya kurekodi mnuso wa kihistoria wa Tanzania Bloggers Network (TBN) Meet and greet Party katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia March 1, 2015. Mnuso huu ulifanikiwa sana kwa udhamini mkubwa wa VODACOM TANZANIA (wadhamini wakuu), NMB, COCACOLA, RAHA.COM, AIM GROUP na SERENA HOTEL.
Home
Unlabelled
TEAM MICHUZI PRODUCTION YAREKODI KWA WELEDI WA HALI YA JUU MNUSO WA TANZANIA BLOGGERS PARTY SERENA HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ankal, Ze fulanas imechakaa? Siku mbili Tatum hizi nimekosa kukuona na zefulanas
ReplyDeleteAnkal uliyopiga leo inaitoa Ze Fulanaz. Hivyo leo sitakulaumu!!! Great Team and Great Work. Tks and Gobless.
ReplyDelete