Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Tanga Cement Plc, Reinhardt Swart (kushoto) akimpa zawadi mhandisi mwanamke kijana katika kampuni hiyo, Irene Lema  katika hafla iliyoandaliwa na wafanyakazi wanawake wa Tanga Cement  kusheherekea siku ya wanawake duniani mjini Tanga.
 Kaimu Ofisa Fedha Mkuu wa Kampuni ya Saruji Tanga, Unguu Sulay (kulia) akimpa zawadi mfanyakazi mwanamke hodari na mwenye mfano wa kuigwa wa kampuni hiyo, Rosemary Kashaga  Juma katika hafla iliyoandaliwa na wafanyakazi wanawake wa Tanga Cement  kusheherekea siku ya wanawake duniani mjini Tanga.
 Meneja Kiwanda wa Kampuni ya Saruji Tanga, Mhandisi Ben Lema (kulia) akimpa zawadi mfanyakazi mwanamke aliyefanyakazi katika kampuni hiyo kwa kipindi kirefu, Mwanahawa Juma katika hafla iliyoandaliwa na
wafanyakazi wanawake hao kusheherekea siku ya wanawake duniani mjini Tanga.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Tanga Cement Plc, Reinhardt Swart (kushoto) akiwa zawadi baadhi ya wasambazaji wa saruji wanawake walioalikwa katika hafla hiyo kwa kutambua mchango wao katika maendeleo ya kampuni. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...