Home
Unlabelled
News alert: ajali ya basi la abiria na lori la Fuso Ruaha Mbuyuni leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
wakiambiwa waende wakajifunze udereva wanazira haya ndio matokeo yake, tz ndio inaongoza kwa ajari za magari duniani
ReplyDeleteDuh jaman hali inatisha Mungu atusaidie
ReplyDeleteHawa watu watatumaliza kweli, dah mbona mtihani! kla cku basi ajali hizo au hayo magari huendeshwa na nguvu za kiza?
ReplyDeleteNi kweli mdau wa kwanza. Kwani ni juzi tu walifurahia maandamano yao kupatiwa ufumbuzi wakijua wameshinda, leo janga hili sasa sijui tuseme nini, serikali inajitahidi kutafuta mbinu fulani kulinda wasafiri, madereva wanaona kama serikali inawaonea. Haya sasa tuone hili na ajali zitaendelea tu kwani madereva wanasifa sana wakiwa wanaendesha vyombo vya moto. Na wengine hawana elimu kabisa ya umakini wawapo barabarani
ReplyDeleteANONYMOUS, nani kaKUdanganya kusoma ndio kutatua matatizo ya ajali, je amuangalii miundo mbinu mibovu ya mabarabara,kuwa ni chanzo pia cha ajali Au katika kubadilisha leseni za awali madereva wengi walisoma lakini bado ajali ziliendelea kutokea? tambua kusoma kwa madereva ni mradi unaoanzishwa na mtu ili ajipatie kipato na ajali inapotokea lawama uhenda kwa dereva kwa nini baadhi ya lawama zisiende kwa selikali kwa kujenga barabara mbovu na vyombo vya usafiri vikiwa havina ubora. anonymous badilika usifate mkumbo na kukalili kila mzungu ni padri.
ReplyDeletehakuna elimu ya practical Tanzania....hakika hata wakienda kusoma wakirudi na A'S Za kila cozi haitopunguza ajali...by the way dereva bora ni yule mwenye experience na sio mabanda..(A)...Mi nadhani likitokea tatizo liwe linatupa somo kuhusiana na ubora wa barabara zetu..moja,ninaimani kwamba mashimo yaliyosabaisha ajali ya majinja express pale mafinga,yameshafukiwa na mashimo mengine yote ya barabarani tz yafukiwe....pili..
ReplyDeletekweli inatisha,jamani hembu tazameni picha ya pili kutoka mwisho kwa umakini kuna vitu vya ajabu vinaonekana katika picha hiyo ambayo havielewike na vinatisha.
ReplyDelete