Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (kushoto) akizungumza na viongozi wa Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Afrika Mashariki Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CHAWAKAMA, hawapo pichani) walipofanya ziara katika Ofisi za Wizara hiyo jana jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi Idara ya Utamaduni Prof. Herman Mwansoko, na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Lugha Bibi. Shani Kitogo.
Baadhi ya viongozi wa Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Afrika Mashariki Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CHAWAKAMA) wakisikiliza kwa makini walipofanya ziara katika ofisi za Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo jana jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel (wanne kulia) katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Wanafunzi wa Kiswahili Afrika Mashariki Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam walipofanya ziara katika Ofisi za Wizara hiyo jana jijini Dar es Salaam. Wapili kulia ni Mkurugenzi Idara ya Utamaduni Prof. Herman Mwansoko, wa kwanza kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Lugha Bibi. Shani Kitogo na wakwanza kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Sanaa Bibi. Leah Kihimbi. Picha na Genofeva Matemu - Maelezo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...