Kaimu
Mkurugenzi wa habari na Mahusiano Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Kaptaini
Javan Bwai akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa
baadhi ya miradi ya Jeshi hilo. Kushoto ni Afisa Mteule daraja la kwanza, Injinia Fredrick Kaaya,
Msemaji
wa wizara ya ulinzi na usalama Jeshi la
kujenga Taifa (JKT) Meja Josephat Musira na wa mwisho ni Afisa wa Idara ya habari MAELEZO, Fatma
Salum.
Mhandisi wa miradi Jeshi la kujenga Taifa (JKT) ,Coplo Lazaro Masanja (kushoto) akitoa maelekezo kwa Msemaji wa wizara ya ulinzi na usalama Jeshi la kujenga Taifa (JKT), Meja Josephat Musira, mara baada ya uzunduzi wa baadhi ya miradi ya Jeshi hilo jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wanahabari waliohudhuria katika uzinduzi wa baadhi ya majengo yaliyojengwa na Jeshi la kujenga Taifa (JKT). Msasani Tower ni moja ya majengo ambayo yamejengwa na Jeshi la kujenga Taifa (JKT). (Picha Avila Kakingo, Globu ya Jamii.)
Mhandisi wa miradi Jeshi la kujenga Taifa (JKT) ,Coplo Lazaro Masanja (kushoto) akitoa maelekezo kwa Msemaji wa wizara ya ulinzi na usalama Jeshi la kujenga Taifa (JKT), Meja Josephat Musira, mara baada ya uzunduzi wa baadhi ya miradi ya Jeshi hilo jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wanahabari waliohudhuria katika uzinduzi wa baadhi ya majengo yaliyojengwa na Jeshi la kujenga Taifa (JKT). Msasani Tower ni moja ya majengo ambayo yamejengwa na Jeshi la kujenga Taifa (JKT). (Picha Avila Kakingo, Globu ya Jamii.)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...