Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Afrika, Karibiani na Pacific, Balozi Patrick Gomes (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania katika Jumuiya ya Ulaya, Balozi Dk. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) baada kumaliza kikao cha kushauriana masuala mbalimbali ofisini kwa Balozi Kamala Brussels. Kulia ni Balozi Jagne msaidizi wa Balozi Gomes.
Home
Unlabelled
KATIBU MKUU WA SEKRETARIETI YA AFRIKA, KARIBIANI NA PACIFIC AKUTANA NA BALOZI KAMALA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...