Jumapili iliyopita ilikuwa siku maaalum
kwa Binti Rhoda Danford Mpumilwa ambapo alipokea Holy Communion hapo kwenye
kanisa la Katoliki la Holy Family Njiro mjini Arusha. Katika sherehe hiyo
alisindikizwa na familia yake wakiwamo dada zake,Leah Danford Mpumilwa
(mkubwa) na Tuli Danford Mpumilwa. (mdogo wake).
Rhoda na dada zake mkubwa Leah
(kushoto) na Tuli.
Rhoda (kulia) akisindikizwa na
mdogo wake Tuli kwenda kanisani.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...