Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho
Kikwete akipeana mkono na Bw.Damian Zefrini Lubuva baada ya kumvalisha
Nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Daraja la Pili katika
hafla iliyofanyika jana viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam katika
kusherehekea miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dk.Jakaya Mrisho
Kikwete akimvalisha nishani Bw.Aboud Talib Aboud wakati wa hafla ya
kutunuku Nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Daraja la Tatu
katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni
kusherehekea miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho
Kikwete akivalisha Nishani Bw,Mohammed Seif Khatibu wakati wa hafla ya
kutunuku
Nishani ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano Daraja la Tatu katika
viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni katika
kusherehekea miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dk.Jakaya Mrisho
Kikwete,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein na Makamo wa Rais wa jamhuri ya Muungano Dk.Mohammed
gharib Bilali pamoja na Viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja
baada ya kumalizika hafla ya
sherehe ya utoaji wa Nishani ya Kumbukumbu ya miaka 50 ya Muungano
Daraja la Pili,Tatu na Nne jana katika viwanja vya Ikulu Jijini Dares
Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...