Mtaalamu wa kujitolea kutoka nchini Japani Bw. Shota
Yanagisawa (aliyesimama) akijitambulisha kwa Kaimu Katibu Mkuu - Utumishi Bw.
HAB Mkwizu katika hafla fupi ya kukaribishwa nchini iliyofanyika Utumishi
mapema leo.
Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya
Rais - Utumishi Bw. HAB Mkwizu (kushoto) akiwakaribisha wataalamu wa kujitolea kutoka
Japani waliokuja kuja kujitambulisha Utumishi mapema leo.
Wataalamu wa kujitolea kutoka
nchini Japani wakishukuru baada ya kukaribishwa mapema leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...