Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa Kongamano la
Takwimu barani Afrika baada ya kufungua mkutano wa kwenye Hoteli ya
Firaffe Ocean View jijini Dar es salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi
wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Dr. Albina Chuwa, kulia ni Irena Krizman
kutoka Slovenia na wapili kulia ni Pali Lehohla kutoka Afrika ya
kusini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
Unlabelled
WAZIRI MKUU PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA TAKWIMU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...