Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa Kongamano la  Takwimu barani Afrika baada ya kufungua mkutano wa kwenye Hoteli ya Firaffe Ocean View jijini Dar es salaam.  Kushoto kwake  ni Mkurugenzi wa Ofisi ya Takwimu ya Taifa, Dr. Albina Chuwa,  kulia  ni Irena Krizman kutoka  Slovenia na wapili kulia ni  Pali Lehohla kutoka Afrika ya kusini. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...