Posto Bella Resort, Kiota Kipya cha maraha pande za  ya Bunju jijini  Dar es salaam.

Chimbo jipya kwa jina La Posto Bella Resort limefunguliwa nje kidogo ya mji wa Dar. Kwa wale wanaopenda maeneo private, utulivu na salama, hakuna haja ya kuumiza kichwa. 

Kama inavyoonekana kwenye picha, pana garden nzuri iliyotengenezwa kwenye miinuko ya Bunju A, 1.2km toka Bagamoyo road, njia ya kuingia DogoDogo Centre, ikipata upepo baridiii unaotokea bahari ya Hindi. 
Ni mazingira ya kiutu-uzima na kimahaba, hakuna kelele za aina yoyote isipokuwa ndege wanaoruka mitini tuu, hakuna boda boda wala honi za magari. Kwa mazingira ya chimbo hili, anayekutafuta lazima atumie GPS!
Ni muafaka kwa ajili ya watu wanaotafuta privacy kama wapendanao, mikusanyiko ya kifamilia (family gatherings), harusi za watu wachache, sherehe za kiofisi (corporate parties), birthdays, mitoko ya ki-group cha kazini, engagement parties, kitchen parties, na mengineyo mengi. Ukumbi (garden yetu) ni bure, hatutozi hela yoyote. Pia ni mahali muafaka kwa mitoko ya familia kwa ajili ya lunch na dinner siku za weekend.
Bei zetu za vinywaji na chakula ni za kawaida sana. Kwa maelezo zaidi tupigie 0655123695 au email: postobellaresort@gmail.com

Picha zaidi tucheki kwenye facebook page yetu www.facebook.com/PostoBellaResort na kwenye Instagram: @posto_bella. Tafadhali tu-follow kwenye instagram uweze kupata habari za matukio mbali mbali kila mwezi.
Posto Bella is like Nowhere in Dar!
Kijani ya kupendeza yatawala eneo la kiota hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...