Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania (TUWEPO) Ussi Said Suleiman akitoa maelezo mafupi ya Jumuiya hiyo na kumkaribisha mgeni rasmi Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali kuzungumza na wanajumuiya.
 Watendaji wa wakuu wa Jumuiya ya TUWEPO wakimskiliza kwa makini Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali (hayupo pichani) alipokuwa akiwahutubia.
 Mwakilishi wa jimbo la Rahaleo Mhe. Nassor Salim Ali akiwahutubia vijana wa Jumuiya ya TUWEPO katika Mkutano wa tano wa Jumuiya hiyo, na kusifu jitihada zao za kuwakomboa vijana katika suala zima la kuwapa elemu. Mhe. Nassor ameahidi kuisaidia Jumuiya hiyo.
 Mhe. Nassor Salim Ali akikabidhi cheki ya laki tano kwa niaba ya Jumuiya ya TUWEPO kwa kikundi cha wajasiria mali wa jumuiya hiyo.
 Mgeni rasmin Mhe. Nassor Salim Ali (wa tatu kushoto waliokaa ) katika picha ya pamoja na viongozi wa TUWEPO , wa kwanza kushoto ni sheha wa rahaleo Mhe. Omar Said.
Mgeni rasmin Mhe. Nassor Salim Ali akiagana na vijana wa Jumuiya ya Vijana wasio na ajira Tanzania (TUEPO) katika Ukumbi wa Water Front Rahaleo Mjini Zanzibar. 
Picha na Makame Mshenga - Maelezo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...