Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akikata utepe kuzindua maonyesho ya 5 ya Kampuni ya EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam,kutoka kushoto ni Msanifu majengo wa wizara ya Ardhi Julius Ndege na Mkurugenzi mkuu wa EAG group Ltd Imani Kajula.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akipewa maelekezo alipotembelea banda la DEGE Eco Village na  Mkurugenzi  na Afisa Masoko wa DEGE Eco Villag,Ashar Malik katika maonyesho ya 5 ya EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda Akimsikiliza Meneja masoko wa kampuni ya AVIC Internatinal Real Estate (T) Ltd, Linda Zhang alipotembelea maonyesho ya 5 ya kampuni  EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akionyeshwa namna mbalimbali za kujenga nyumba kwa kutumia vyuma na Mkurugenzi wa Fedha wa kampuni ya PIVOTECH,Eric Chonjo  alipotembelea banda la Kampuni ya PIVOTECH katika aonyesho ya 5 ya kampuni  EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wananchi waliotembelea mabanda mbalimbali katika maonyesho ya 5 ya kampuni  EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria katika maonyesho ya 5 ya kampuni  EAG Group Ltd yanayofanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. PICHA NA EMMANUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...