Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza akiwa katika picha ya pamoja na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam leo. Picha na Freddy Maro

Mei 14, 2015 Rais Jakaya Mrisho Kikwete  ametembelea kitengo cha upasuaji wa moyo cha Hospitali ya Taifa Muhimbili na kuwaona watoto ambao wamepata matibabu ya moyo kwa njia ya upasuaji na kuziba tundu la moyo bila kupasua, zoezi ambalo limeendeshwa na timu ya madaktari kutoka Taasisi ya Al Muntanda ya London, Uingereza, kwa kushirikiana na madaktari wa hospitali ya Taifa Muhimbili. Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais IKULU imetayarisha video ya ripoti hii kuhusiana na ziara hiyo. Bofya mshale kuendelea...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...