Mke wa Mbunge wa Kitope Mama Asha Suleiman Iddi akiwanasihi wazazi
kuendelea kuwaonyesha njia watoto wao wakati akizungumza kwenye mkutano wa ccm
wa Matawi ya Kumbaurembo na Cairo katika Kijiji cha Kiwengwa ndani ya Jimbo la Kitope.Kulia ya
Mama Asha ni Mbunge wa Jimbo la Kitope ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akimjuilia Hali Muwasisi wa ASP
na Muanzilishi wa CCM Bibi Fatma Suleriman Sio Katika Kijiji cha Kiwengwa.
Balozi Seif ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Kitope akimsalimia Mzee Haji Muhidini katika Mtaa wa Kumburembo
Kiwengwa akiwa katika ziara ya kuwajulia hali Wazee waasisi wa Afro Shirazy
Party.
Balozi Seif akisalimiana na Mzee Muasisi wa Afro Shirazy Party Bwana
Rashid Khalfan wa mtaa wa Cairo ndani ya
Kijiji cha Kiwengwa Wilaya ya Kaskazini “ B “. Picha na
–OMPR – ZNZ
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...