Afisa Masoko wa Benki ya DCB,Hildergard Nehrab akimpa maelekezo mteja aliyefika katika banda la DCB,kuhusu huduma zake za mikopo ya nyumba,kwenye maonyesho nyumba yaliyoandaliwa Kampuni ya EAG Group yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini,Dar es Salaam.
Meneja Mikopo wa Benki ya DCB,Godwin Mngulu akimpa maelekezo mteja aliyefika katika banda la DCB  kuhusu huduma zake za mikopo ya nyumba katika maonyesho nyumba yaliyoandaliwa na Kampuni ya EAG Group yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City Jijini,Dar es Salaam.Benki ya DCB inatoa mikopo ya nyumba kupitia huduma zake za Mortagage loan na micro housing loan kwa wateja wa kipato cha chini na cha kati.
Baadhi ya wananchi waliohudhuria katikla maonyesho ya kampuni ya EAG group yanayofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
PICHA NA EMMANUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...