Taasisi ya Dorice Mollel Foundation chini mshindi wa nne wa Miss Tanzania 2014/15, Dorice Mollel (kulia) akiwa pamoja na watoto wanaolelewa kwenye kituo cha CHAKUWAMA kilichopo Sinza Mori, Jijini Dar es salaam.Dorice Mollel Foundation kwa kushirikiana na Rehema Solidarity Trust iliyo chini ya Ubalozi wa Uturuki walitoa msaada wa vitabu vya dini kwa kituo hicho pamoja na vingine viwili ili kuwawezesha watoto hao kujengwa katika maadili mema ya kiimani.anaeonekana mbele kushoto ni Mlezi Mkuu wa Kituo cha kulea Watoto Yatima cha CHAKUWAMA,Bibi Saida Hassan.
Home
Unlabelled
Dorice Mollel Foundation yasaidia yatima jijini dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...