Na Bashir YAkub
Sura ya 29 Sheria ya ndoa imeeleza mambo mengi . Baadhi yanajulikana na baadhi hayajulikani. Wakati mwingine hata baadhi ya yanayojulikana haijulikani kama yameruhusiwa na sheria au yanafanyika kimazoea. Na hapa ndipo inapoibukia migogoro mingi ambayo tunayoshuhudia mahakamani na hata nje ya mahakama. Aidha sheria hii imebeba mambo mengi ya talaka, matunzo ya watoto na mwanamke, jinai za unyanyasaji wa kijinsia, ndoa haramu na halali na mengine mengi kuhusu familia na ndoa. Mengi kati ya haya yameishaelezwa kwa anayetaka kuyajua basi atembelee SHERIA YAKUB BLOG atafute atapata humo.
Leo ni muhimu kuzungumzia jambo jingine muhimu ambalo nalo limekuwa likitatiza na kuleta shida kwa wanandoa. Ni kuhusu ruhusa ya kuoa na kuoa mke zaidi ya mmoja. Ndoa zipo aina nyingi na upo uhuru wa mtu kufunga ndoa kutokana na maamuzi yake na mwenza wake wanavyoamua.
Yumkini unapoamua kufunga ndoa ya aina fulani yakupasa pia uwe umejua matokeo, athari za ndoa hiyo. Kila aina ya ndoa utakayofunga ujue wazi kuwa itaambatana na haki fulani , wajibu fulani na mipaka fulani. Hakuna ndoa utakayoifunga iwe moja kwa moja bila mipaka . Na hili hasa ndilo linalojadiliwa na makala haya.
Yumkini unapoamua kufunga ndoa ya aina fulani yakupasa pia uwe umejua matokeo, athari za ndoa hiyo. Kila aina ya ndoa utakayofunga ujue wazi kuwa itaambatana na haki fulani , wajibu fulani na mipaka fulani. Hakuna ndoa utakayoifunga iwe moja kwa moja bila mipaka . Na hili hasa ndilo linalojadiliwa na makala haya.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...