Mh January Makamba akihutubia wanachi na
wanachama wa CCM mkoani Ruvuma mara baada ya kabidhiwa fomu yenye sahihi za
wanachama waliomdhamini.
Mh January Makamba akihutubia wanachi na
wanachama wa CCM mkoani Ruvuma ndani ya ukumbi wa ofiswi kuu ya chama hicho
mkoani Ruvuma. kuanzia kushoto ni mke January Makamba, Ramona Makamba, katibu
wa CCM mkoa wa Ruvuma, Verena Shumbusho na kulia ni mwenyekiti wa CCM mkoa, Odo
Mwisho.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Ruvuma, Odo Mwisho
akimkabidhi fomu yenye majina na sahihi za wanachama waliomdhamini mh. January
Makamba. Makabidhiano hayo yamefanyika katika ukumbi wa mikutano katika ofisi
kuu ya CCM mkoa wa Ruvuma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...