Yetu Microfinance PLC iliyoridhi biashara ya mikopo kwa wajasiliamali wadogo kutoka Youth Self Employment Foundation (YOSEFO) inayofuraha kuwatangazia kuwa imepata kibali kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana  cha kuuza hisa zenye thamani ya shilingi 12.5 bilioni kwa njia ya toleo.  
Yetu Microfinance PLC inatoa huduma katika matawi yafuatayo; Mzizima and Mbagala ( Dar es Salaam), Ifakara and Mngeta (morogoro region), Zanzibar and Kilwa.

Jumla ya hisa baada ya toleo
36,972,249
Idadi ya Hisa zinazouzwa
25,193,213
Bei ya hisa moja
Tzs 500  
Tarehe ya kuanza mauzo ya hisa
18th Juni, 2015
Tarehe ya kufunga mauzo ya hisa
30th ,Julai 2015
Tarehe ya kuorodheshwa kwenye soko la hisa
17th August, 2015
Imesainiwa na
Altemius Millinga

Mkurugenzi Mtendaji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 18, 2015

    Inabidi waweke prospectus ili tuweze kufanya maamuzi kutokana na malengo ya mwekezaji/investor.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 29, 2015

    Yah taarifa juu ya malengo, na mwekezaji anapaswa awe vipi ni muhimu yakawepo pia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...