Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mushi (kushoto), akikabidhi Cheti cha ushindi wa kwanza kwa Meneja Usalama na Mazingira wa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Renatus Nyanda, kutambua mchango wa TBL kutunza mazingira, wakati wa kilele cha Wiki ya Mazingira, iliyofanyika Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), baada ya kushiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika soko la Mchikichini, Dar es Salaam
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kushoto) akishirikiana na wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika soko la Mchikichini, Dar es Salaam jana, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya wiki ya mazingira, ambapo TBL imesaidia vifaa mbalimbali vya usafi kwa Manispaa ya Ilala. Kulia ni Meneja wa Kiwanda hicho, Bw. Calvin Martine.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...