Beki wa Azam FC, Abbas Mudathir Yahya akimiliki mpira huku akizongwa
na mchezaji wa timu ya KCCA, Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya
Kombe la Kagame uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
(Picha na Francis Dande)
Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akichuana na beki wa
KCCA, Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame
uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Beki wa Azam FC, Agrey Morris akichuana na beki wa KCCA,
Hassan Wasswa katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame uliofanyika
kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco (kulia) akimtoka beki wa
KCCA, Ochaya Joseph katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame
uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Beki wa Azam FC, Agrey Morris akimiliki mpira huku akizongwa
na beki wa KCCA, Habib Kavuma katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Kagame
uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Hongera kwa timu! lakini taarifa haijakamilika tungependa kujua matokeo yalikuaje? Mabao!
ReplyDelete