Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Thami Mseleku akifanya usafi katika Wodi (A) ya Watoto iliyopo katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI),ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela.
Muunganishi wa Makazi katika Umoja wa Mataifa,Alvaro Rodriguez (wa kwanza kutoka kushoto),Balozi wa Afrika Kusini nchini,Thami Mseleku (wa pili) wakiwa na baadhi ya wawakilishi wakipokea misaada kwa niaba ya walezi wengine.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili(MOI),Dkt.Othman Kiloloma akizungumza na waandishi wa habari juu ya msaada waliopokea kutoka kwa Umoja wa Mataifa,,ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela.
Baadhi ya wadau wakiendelea na usafi katika sehemu ya maadhimisho ya  ya siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela. 
 Baadhi ya washiriki waliofanya usafi hospitali ya  Mhimbili Wakiwa katika picha ya pamoja. 

PICHA NA EMMANUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII. 


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 24, 2015

    Kwa kweli nafurahi kuona kwamba "hospitali" inasafishwa; Hivi usafi wa kawaida kama huu lazima usubiri Mandela Day! Jamani kah!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...