Baadhi ya wananchi waliohudhuria kwenye banda la chama cha wanasheria wanawake (TAWLA) kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba.
Mkurugenzi wa Programu wa TAWLA, Naseku Kisambu akitoa maelezo kwa watu
waliohudhuria banda lao kwenye maonesho ya sabasaba jinsi gani Tawla
inavyosaidia kisheria.
Afisa habari wa TAWLA Goodness Mrema akitoa maelezo kwa wananchi waliohudhuria bandani kwao.
Mkurugenzi mtendaji wa TAWLA,Tike Mwambipile akihojiwa na mwandishi wa Tbc kwenye maonesho ya kimataifa sabasaba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...