Mkurugenzi Mtendaji wa Chuo cha Taifa cha utalii, Rosada Musoma akizindua kwa kukata utepe kiota cha burudani cha Goldbar and Restaurant katika chuo cha Taifa cha Utalii kampasi ya Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 
Mkurugenzi kitengo cha Biashara wa chuo cha Taifa cha Utalii (NCT),Neema Chololo Kusiga akizungumza mara baada ya uzinduzi wa kiota cha burudani cha Goldbar and Restaurant kilichopo katika chuo cha Taifa cha Utalii kampasi ya Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 
  Mkurugenzi Mtendaji wa Chuo cha Taifa cha utalii, Rosada Musoma akizungumza mara baada ya kuzindua Goldbar and Restaurant katika chuo hicho mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa chuo cha Taifa cha Utalii kampasi ya Bustani.
 Picha ya pamoja ya wafanyakazi wa Chuo cha Taifa cha Utalii kampasi ya Bustani mara baada ya kuzindua Goldbar and Restaurant katika chuo hicho uzinduzi uliofanyika katika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...