CHAMA
cha Wananchi (CUF) wilaya ya Kondoa kimewataka wananchi wa Wilaya hiyo
kufanya mageuzi ya uongozi kwa kuchagua wagombea wa vyama vya upinzani
ili kuleta mabadiliko ya kiuchumi na kuleta maendeleo.
Wilaya
ya Kondoa umegawanywa na kuwa majimbo mawili ya Kondoa na Kondoa
Vijijini pia kuna Jimbo la Chemba ambalo Mbunge wake aliyemaliza muda
wake ni Juma Nkamia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...