Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salam (DIT),
imeongeza muda wa udahili wa wanafunzi wa kozi tofauti kutoka Agosti mwaka huu
hadi kufikia Oktoba, lengo likiwa kutoa fura zaidi kwa waombaji kukamilisha
taratibu.
Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa
habari, Dar es Salaam jana, Mkuu wa Uhusiano wa chuo hicho, Amaan Kakana
alisema, wamesogeza muda kwa waombaji wa kozi hizo ambazo zitaanza rasmi
Novemba ili kutoa fursa kwa wanafunzi wengi zaidi kupata fursa hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...