TBC.
Baada ya malumbano Bungeni Leo yaliyopelekea kuahirishwa kwa Bunge, haya ni baadhi ya matukio yaliyotekea Bungeni.
SIMUtv: Hivi ndivyo timbwili lilivyozuka bungeni leo hadi kupelekea kuahirishwa kwa kikao cha bunge.Tazama hapa.    http://youtu.be/zFRWtB0lbKo
SIMUtv:  Naibu Waziri Tamisemi Mhe Majaliwa akijibu swali Bungeni Juu ya maegesho  ya magari katika miji mbalimbali nchini.   http://youtu.be/CTJ9oznbgEE
SIMUtv:  Mbunge aibana serikali juu ya upotevu wa fedha za umma kama inavyoainisha na ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali. http://youtu.be/4856G_lVqRc
SIMUtv:  Changamoto za ukusanyaji wa mapato ya maegesho ya magari katika jiji la Dar Es Salaam waibua maswali Bungeni.      http://youtu.be/a4AGzh0geJw
SIMUtv:  Kibano alichokitoa Mhe  Mnyika dhidi ya serikali juu  ya ubadhilifu unajitokeza katika manispaa za Jiji la Dar Es Salaam.       http://youtu.be/f3Kwx9Tlsbg
SIMUtv:  Serikali kukomesha tabia ya ulipaji wa mishahara kwa  watumishi  hewa serikalini kwa kuimarisha mawasiliano katika ngazi zote za serikali.    http://youtu.be/4QcL9RIqA44
SIMUtv:  Misingi Imara ya utawala bora inakipasa Chama kiwe na Uwazi kwa jamii, Ungana na Zitto Kabwe akizungumzia misingi ya Utawala Bora.     http://youtu.be/1de_hY9xMmY
SIMUtv:  Mjadala wa vitambulisho vya taifa wafufuliwa upya Bungeni na haya ndio majibu yaliotolewa na naibu waziri wa mambo ya ndani  Mh Pereira Silima.  https://youtu.be/X_4tip1nik0
SIMUtv:  Naibu waziri wa Mawasiliano,Sayansi na  Teknolojia Mh January  Makamba akijibu swali juu ya makampuni ya simu yaliowekeza katika halmashauri ya vunjo   http://youtu.be/rMsnWXzBljw
SIMUtv:  Serikali yawaasa wananchi kusimamia na kuhakikisha wanapata mapato zaidi kutokana na uwekezaji wa minara ya simu katika ardhi yao.    http://youtu.be/bOGkvRDl8H4
SIMUtv:  Hivi ndivyo kambi rasmi ya upinzani  Bungeni walivyowasha moto bungeni na kusababisha spika kuhairisha Bunge.    http://youtu.be/QRUni90WHh8
SIMUtv:  Hivi ndivyo timbwili lilivyozuka bungeni leo hadi kupelekea kuahirishwa kwa kikao cha bunge.Tazama hapa.    http://youtu.be/zFRWtB0lbKo
Madai ya Mbunge wa Ubungo Mhe. Mnyika juu ya ukiukwaji wa kanuni za bunge yaleta mzozo Mkali na kupelekea bunge kuahirishwa.    https://youtu.be/HO6GH8fs4K4

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...