Baadhi ya wanafunzi wa darasa la saba wa shule ya Msingi Mlimani ya jijini Dar es Salaam,wakiwa wamebeba baadhi ya kompyuta kati ya(20) zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation na kukabidhiwa na Mkuu wa taasisi hiyo, Renatus Rwehikiza(kulia) Msaada huo ulitolewa na Taasisi hiyo kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo kujifunza masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo.
Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza(kushoto)akimkabidhi msaada wa moja ya Kompyuta kati ya(20)Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi Mlimani ya jijini Dar es Salaam.Msaada huo ulitolewa na Taasisi hiyo kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo kujifunza masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo,Anayeshuhudia katikati ni Mwalimu wa somo la kopmyuta katika shule hiyo Sixbert Masero.
Mwanafunzi wa darasa la saba wa shule ya msingi Mlimani ya jijini Dar es Salaam,Upendo Kujerwa(kulia)akionesha moja ya kompyuta kati ya(20)zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation kupitia mkuu wa taasisi hiyo Renatus Rwehikiza(kushoto)katikati ni Mwanafunzi wa shule hiyo Erick Uledi. Msaada huo ulitolewa na Taasisi hiyo kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo kujifunza masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo.
Baadhi ya wanafunzi wa darasa la saba wa shule ya Msingi Mlimani ya jijini Dar es Salaam,wakiwa na nyuso za furaha na kompyuta zao(20) walizopewa msaada na Vodacom Foundation na kukabidhiwa na Mkuu wa taasisi hiyo, Renatus Rwehikiza(hayupo pichani) Msaada huo ulitolewa na Taasisi hiyo kwa ajili ya wanafunzi wa shule hiyo kujifunza masomo mbalimbali kupitia kompyuta hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...