JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAHAKAMA
Pamoja naye jopo hilo
lilikuwa na wajumbe wawil Bw. Kerryn Macaulay
wa Australia and Henrik Larsen
wa
Dermark. Kazi hiyo iliyochukua miezi
mitatu imekamilika na kuwasilishwa kwa Katibu Mkuu, Ban Ki-moon ambaye pia ameiwasilisha kwa Rais
wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Taarifa kamili ya ripoti hiyo inapatikana kwenye
tovuti ya Umoja wa Taifa ya http://www.un.org/dous/journal/asp/ws.asp?m=a/70/132.
Aidha taarifa ilitolewa kwenye vyombo vya habari ya tarehe 6 Juni, 2015, inapatikana kupitia tovuti
Mahakama, tunachukua
fursa hii kumpongeza Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji
Mkuu kwa uwakilishi wa Mahakama na Nchi
yetu na kazi iliyotukuka na kumtakia heri na mafanikio zaidi.
H. A. Kattanga
MTENDAJI
MKUU
MAHAKAMA YA TANZANIA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...