Timu ya vijana Watanzania, Tanzania Boys ilicheza ligi maalum ya kusherehekea miaka 40 ya Uhuru wa Mozambique na kufanikiwa kulichukua kombe hilo baada ya kufikisha pointi 7.Mchezo wa kwanza Tanzania Boys 4 na Laulane Sports 3, mechi ya pili Tanzania Boys 4 Raiva Mfalala 2 na mechi ya mwisho Tanzania Boys 5 na 25 de Setembro 5. Tanzania Boys walimkabidhi kikombe hicho Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe. Shamim Nyanduga ofisini kwake.
 Timu ya vijana Watanzania, Tanzania Boys iliyocheza ligi maalum ya kusherehekea miaka 40 ya Uhuru wa Msumbiji
 Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe. Shamim Nyanduga akikabidhiwa kikombe na Kiongozi wa Timu ya Tanzania Boys Salum Magimba.
Balozi Nyanduga akiwa na baadhi ya  wachezaji wa timu ya vijana Watanzania, Tanzania Boys iliyocheza ligi maalum ya kusherehekea miaka 40 ya Uhuru wa Msumbiji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...