Mafundi na wahandisi ujenzi wakiendelea na kazi ya kusuka nguzo kuu katika daraja la mto Kilombero kama walivyokutwa eneo la Kivukoni, mjini Ifakara.
Daraja hilo linajengwa na mkandarasi M/S China Railway 15 Group Corparation ya China na lina lenye urefu wa mita 384 ambapo gharama yake ni Sh bilioni 56 ikiwa na kuweka lami ya kilometa 9.142 fedha zilizotolewa na Serikali ya Tanzania Picha na John Nditi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...