Baadhi ya ndugu na jamaa wa Marehemu Ramadhan Massanja "Banza Stone" wakijadiliana jambo mchana huu, nyumbani kwao Sinza Lion, Jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa kaka wa Marehemu, Hamisi Masanja, Banza Stone atazikwa kesho saa kumi jioni katika makaburi ya Sinza jijini Dar es salaam. Mola aiweke mahali pema roho ya marehemu - AMINA.

Mawasiliano yakiendelea kupeana taarifa na ndugu wengine.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...