Mwenyekiti wa Kariakoo Family Foundation Development (KFFD) Mohamed Bhinda akimkabidhi mlezi wa kituo cha Yatima cha Al Madina Tandale jijini Dar es salaam leo. KFFD ni jumuiya ya watu wanaoishi ama waliopata kuishi eneo la Kariakoo ambao wameunda jumuiya hiyo kudumisha umoja wao pamoja na kusaidiana katika shida na raha.
Ujumbe wa KFFD ukiwa na mlezi wa kituo cha Yatima cha Al Madina Tandale jijini Dar es salaam baada ya kukabidhi misaada leo.
Ujumbe wa KFFD ukiwa na watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima cha Al Madina Tandale jijini Dar es salaam baada ya kukabidhi misaada leo.
Mola awalipe wana Kariakoo kwa kazi njema. Kila unachotoa Mola analipa mara 10 yake na khasa katika mwezi mtukufu wa Ramadhan
ReplyDeleteWell done wana KFFG;;; Group lidumu
ReplyDelete