Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (wakwanza kulia) akipiga makofi mara baada ya kufungua nyumba za makazi ya Watumishi wa Umma zilizoko Mbezi Beach (E-NMC) jijini Dar es Salaam. Wa tatu kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe akifatiwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo Arch. Elius Mwakalinga.
Nyumba ya Makazi ya Watumishi wa Umma ilioko Mbezi Beach (E-NMC) jijini Dar es Salaam kama linavyoonekana.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Mussa Iyombe akitoka kufanya ukaguzi wa jengo la Makazi ya Watumishi Sida Flats Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2015

    Hizi nyumba ni nzuri, ili kuhakikisha zinakuwa na matengenezo ya mara kwa mara yanapohitajika, wafanyakazi watakopewa nyumba hizi wakatwe kodi itakayowekwa kwenye mfuko kwa ajili ya matengenezo na kuziboresha mara kwa mara. Kuajiri mwangalizi (caretaker) kutasaidia kutunza usafi wa maeneo ya pamoja. Endeleeni kutengeneza makazi bora kwa ajili ya watumishi wa umma

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 03, 2015

    zitauzwa lini tujipange?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...