Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) akisalimiana na baadhi ya wakazi wa Patandi wakati akiwasili kwenye hafla hiyo ya kukagua ujenzi wa barabara ya lami ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa km 14.1 itakayojengwa kwa njia nne pamoja na madaraja makubwa mawili.
 Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli (Mb) akizungumza na wakaazi wa Patandi, Sangis na Tengeru kuhusu ujenzi wa barabara ya lami ya Sakina-Tengeru yenye urefu wa km 14.1 itakayojengwa kwa njia nne pamoja na madaraja makubwa mawili.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa barabara nchini TANROADS  Eng. Patrick Mfugale akitoa maelezo ya Mradi wa Ujenzi wa barabara hiyo pamoja na Barabara ya Arusha bypass km 42.2
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Ntibenda akizungumza na wakazi wa Patandi mkoani Arusha kuhusu ujenzi wa barabara ya Tengeru-Sakina utakaojengwa kwa njia nne.
 Wakaazi wa Patandi wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli kwenye hafla hiyo. 

Sehemu ya barabara ya Tengeru-Sakina katika eneo la Patandi ikiwa imeanza kufanyiwa ukarabati utakaohusisha ujengwaji wa njia nne kwa kiwango cha lami.Picha kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano, Wizara ya Ujenzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...