WAZIRI wa Maliasili na Utalii,
Lazaro Nyalandu, akisalimiana na baadhi ya wadau wa masuala ya uhifadhi
na utalii wakati alipofungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji wa
mfumo wa usimamizi na uendeshaji Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya
Wanyamapori Tanzania (WMA), ulioanza jana jijini Arusha.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akifuatilia majadiliano
wakati wa mkutano wa wadau na viongozi wa Maeneo ya Jumuia ya
Hifadhi ya Wanyamapori nchini (WMA), ulioanza jana jijini Arusha.
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akizungumza na
wadau na viongozi wa Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori nchini
(WMA), ulioanza jana jijini Arusha kujadili uboreshaji mfumo wa
usimamizi na uendeshaji jumuia hizo.
WAZIRI
wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akisalimiana na mdau wa
masuala ya utalii na uhifadhi nchini, Willy Chambulo, muda mfupi baada
ya kufungua mkutano wa majadiliano kuhusu uboreshaji wa mfumo wa
usimamizi na uendeshaji Maeneo ya Jumuia ya Hifadhi ya Wanyamapori
Tanzania (WMA), ulioanza jana jijini Arusha.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...