Kama umegundua  nywele  zako  zinanyonyoka, usi-panic. Sababu  inaweza  kuwa  rahisi. 
Inaweza kuwa  ni  ukosefu  wa  vitamin  au  sababu  za  kinasaba ( urithi ). Zifutazo  ni  sababu  kwa nini  nywele  zako  zinanyonyoka:
1. Stress
Kila  aina  ya   physical and emotional pain   inaweza  kusababisha  kunyonyoka  kwa  nywele.  . Ajali  ya  gari  au  kufanyiwa  upasuaji   vinaweza  kukusababishia  stress  ambayo  itakuletea kunyonyoka  kwa  nywele  zako.   Emotional stress  hazisababishi  kunyonyoka  kwa  nywele   lakini inaweza  kutokea  pale  unapokuwa  katika  wakati  mgumu  kisaikolojia  kama  vile  kumpoteza mtu  wako  wa  karibu  kutokana  na  kifo  au  kuachwa  kimapenzi. Hata  hivyo,. Baada  ya  wakati huo  mgumu, nywele  zako  zitaanza  kuota  tena   baada  ya  miezi  sita.
 2. Homoni
 Kunyonyoka  kwa  nywele  kunaweza  kuwatokea  wanawake  w alio  katika  menopause  kutokana na  kuadilika  kwa  viwango  vya   homoni.  Inaweza  kutokea  pia  kwa  wanawake  wanaotumia vidonge  vya uzazi  wa  mpango  hususani  wanapokuwa  wana  ahirisha  mara  kwa  mara  zoezi  la kutumia  vidonge  hivyo.  Unashauriwa  kama  unatumia  vidonge  kwa  uzazi  wa  mpango, basi hakikisha  unazingatia  ratiba  na  usiahirishe  hata  mara  moja.
3. Ukosefu  wa  Protini  au  Hamirojo
 Ukosefu  wa  protini  unaweza  kudhoofisha   ukuaji  wa  nywele au  kusababisha  kunyonyoka  kwa nywele kabisa  na  hatimaye  kuwa  na  kipara  kabisa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 17, 2015

    Kipara-ng`oto, ndo utu-uzima huo, wengine genetically wanaanza kukipata mapema, na wengine ndo mambo ya uzeeni hayo.When my time comes to become bald, I will accept my bald head with intergrity.
    Kuna miaka ya themanini waganga wa kienyeji bongo walikuwa wanavitaka vipara kwa shughuli zao, a few unlucky fellas lost their lives to this stupidity.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...