Kimepimwa
    Kipo mita 800 kutoka barabara kuu ya lami ya Goba.
    Majirani pia wamepima
    Kimezungukwa na nyumba zenye hadhi nzuri
    Ukubwa ni square meter 1939.
    Ni kilometres saba toka mlimani city na saba toka mbezi beach tangibovu
    Bei ni Million 90. 
    Hamna dalali

Kuwasiliana na mmiliki wa kiwanja piga kwenye  0766 888 333

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Milioni 90 Goba!! Kalaghabaho

    ReplyDelete
  2. Hiyo bei kidogo juu.
    Labda mimi na ulala hoi wangu naziona ni nyingi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...