Kamishna Msaidizi wa Madini, kanda ya Kusini, Mhandisi Benjamin Mchwampaka akiangalia vipeperushi mbalimbali mara alipotembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini katika Maonesho ya Wakulima (NaneNane) katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.
Ofisa Madini , Kasuhu Warioba (wa pili kulia) akiwa katika banda la Wizara ya Nishati na Madini katika Maonesho ya Wakulima (NaneNane) yanayoendelea katika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi. Wa kwanza kulia ni Ephraim Mushi wa Kitengo cha Mazingira, Wizara ya Nishati na Madini.
Ofisa Madini , Kasuhu Warioba (kulia) akimwonesha madini ya vito, mwananchi (kushoto) aliyetembelea banda la Wizara ya Nishati na Madini katika Maonesho ya Wakulima (NaneNane) yanayoendelea katika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.Mwenye shati la kijani ni Habbas Ngulilapi kutoka Idara ya Nishati, Wizara ya Nishati na Madini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...