WAZIRI
wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais, (anayeshughulikia masuala ya Muungano), Samia
sSuluhu Hassan,(wapili kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania,
TPB, Sabasaba Moshingi, (wakwanza kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Property
International Ltd, (PIL), Abdulkarim Haleem, (watatu kulia), na Mwakilishi wa
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, ambaye pia ni Mkurugenzi wa
Uwekezaji, Gabriel Silayo, (wane kulia), wakiwa wamekamata mwamvuli ikiwa ni
ishara ya umoja, kwenye uzinduzi wa mpango wa kukopesha viwanja wanachama wa
PSPF ambapo TPB itaratibu ukopeshwaji huo kwa kutoa fedha. Uzinduzi huo
ulifanyika jijini Dar es Salaam Jumanne Agosti 18, 2015.
Mgeni rasmi, Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, (Muungano), Samia Suluhu Hassan, akitoa hotuba.
Mwakilishi wa
Mkurugenzi Mkuu wa PSPF, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa Mfuko huo,
Gabriel Silayo, akitoa hotuba yake
Afisa Mtendaji Mkuu wa
Benki ya Posta, TPB, Sabasaba Moshingi, akitoa hotuba yake
Msanii wa muziki wa
majigambo, Mrisho Mpoto, ambaye pia ni balozi wa PSPF, akitoa burudani kwenye
hafla hiyo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...