Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wa mkoa wa Temeke (NHIF),Constantine Makala akieleza jambo wakati wa kukabidhi mashuka 120 katika hospitali ya Temeke leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk.Edwin Muhondezi.
 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wa mkoa waTemeke (NHIF), Constantine Makala akimuwakilisha kaimu  Mkurungenzi Mkuu wa (NHIF) wa mkoa wa Temeke kumkabidhi msaada wa mashuka 120 Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke Edwin Muhondezi leo Jiji Dar es Salaam.
 Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke,Dk.Edwin Muhondezi akitoa neno la shukarani baada ya hospitali yake kupata msaada wa mashuka 120 kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika hospitalini hapo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa mkoa wa Temeke (NHIF) wakiwa wameshika shuka ambayo inawasilisha msaada wa shuka 120 zilizotolewa katika hospitali ya Temeke leo jijini Dar es Salaam.
(picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...