UKOSEFU ama
upungufu wa nguvu
za kiume, ni tatizo
linalo wakabili mamilioni
ya wanaume duniani.
Zipo sababu nyingi
zinazo sababisha tatizo
la ukosefu wa
nguvu za kiume, Miongoni mwa sababu
hizo ni pamoja
na maradhi kisukari, presha,shinikizo la
damu, moyo, figo, matatizo
kwenye mishipa ya
ubongo & mishipa
ya uti wa mgongo, matatizo kwenye
mishipa itumikayo kusafrisha damu mwilini, maradhi ya
ngiri, pamoja na
upigaji punyeto kwa
muda mrefu.
Katika makala
yetu ya leo, tutaangalia namna
suala la upigaji
punyeto linavyo athiri nguvu
za kiume.
Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...