Wananchi wakimsindikiza Waziri mkuu msaafu Edwald Lowassa (CHADEMA)
wakati akielekea kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia
chama cha Demokrasioa na Maendeleo (CHADEMA) wakitokea ofisi za chama
hicho kupitia ofisi za CUF na kuhitimisha katika ofisi za NEC jijini Dar
es Salaam leo.
Home
Unlabelled
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWARD LOWASSA KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hii inanikumbusha harakati za Lyatonga alipojitoa ccm
ReplyDeleteWangapi hapo wamejiandikisha kupiga kura au ni wapambe tu
ReplyDeleteBasi hii mimi inanikumbusha .maandamano ya amani ya mheshimiwa Martin Luther King. We will get there, I see no more troubles in tanzania after the October elections. We will have a new prezy, Ed N. L
ReplyDelete