Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk Donan Mmbando  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kwa kulishukuru shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) kwa kutoa msaada wa Dawa za kutakasa maji (Water Guard ) leo jiji Dar es Salaam kulia ni Mwakilishi wa shirika la Afya Ulimwenguni hapa Nchini Dk Rufaro Chatora.
 Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Usitawi wa Jamii Dk Donan Mmbando leo jiji Dar es Salaam
 Mwakilishi wa shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) hapa Nchini Dk Rufaro Chatora akimkabidhi msaada huo Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Donan Mmbando  leo jiji Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk Donan Mmbando  akimkabidhi Mgaga Mkuu wa Serikali, Dk.Grace Magembe  msada huo ulio tolewa na shirika la Afya Ulimwenguni leo jijini Dar es Salaam
( Picha na Emmanuel Massaka)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...