Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Maendeleo TIB
Prof. William Lyakurwa (wapili kushoto) na Msajili Hazina Bw. Lawrence Mafuru
(wa pili kulia) wakibadilishana mikataba ya makubaliano ya kiutendaji kwenye
hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mkataba huo
unalenga kufungua milango kwa serikali kuweza kusimamia na kukagua ufanisi wa
benki hiyo katika kuleta tija kwa taifa. Wanaoshuhudia ni pamoja na Msajili
Hazina msaidizi Bw. Mwakibinga Mihalale (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtenddaji
wa benki
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Maendeleo TIB
Prof. William Lyakurwa (kushoto) na Msajili Hazina Bw. Lawrence Mafuru (kulia)
wakionyesha mikataba ya makubaliano ya kiutendaji baina yao mara baada ya
kuisaini kwenye hafla fupi iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa
wiki.Mkataba huo unalenga kufungua milango kwa serikali kuweza kusimamia na
kukagua ufanisi wa benki hiyo katika kuleta tija kwa taifa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki ya Maendeleo TIB
Prof. William Lyakurwa (kushoto) na Msajili Hazina Bw. Lawrence Mafuru (kulia)
wakibadilishana mikataba ya makubaliano ya kiutendaji kwenye hafla fupi
iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mkataba huo unalenga
kufungua milango kwa serikali kuweza kusimamia na kukagua ufanisi wa benki hiyo
katika kuleta tija kwa taifa.
Na
Mwandishi wetu
BENKI ya Maendeleo
TIB imesaini mkataba wa kiuetendaji na Serikali hatua inayofungua milango kwa
serikali kuweza kusimamia na kukagua ufanisi wa benki hiyo katika kuleta tija
kwa taifa.
Kusainiwa
kwa mkataba huo kunaifanya benki hiyo kuwa miongoni mwa mashirika na taasisi za
awali kabisa za umma zilitoa fursa kwa serikali kuzikagua na kupima ufanisi wao
kiutendaji kila mwaka kupitia msajiri wa hazina.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...