Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2-4 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wadau mbalimbali kutoka Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na TANESCO wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa mada kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi, warsha iliyofanyika siku ya tarehe 2 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau mbalimbali kutoka Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na TANESCO wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya warsha iliyofanyika siku ya tarehe 2 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWEGA-MAELEZO.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...