Naibu Kiongozi wa Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala
ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER) Bw. John Heath akiwaelimisha wadau
mbalimbali wa Kampuni inashughulikia Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi
Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na wadau wa Shirika la
Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko
la Jotoardhi. Warsha inayofanyika tarehe 2-4 Septemba, 2015 jijini Dar es
Salaam.
Baadhi ya wadau mbalimbali kutoka Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na TANESCO wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa mada kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi, warsha iliyofanyika siku ya tarehe 2 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau mbalimbali kutoka Kampuni ya Uendelezaji wa Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na TANESCO wakifuatilia kwa makini uwasilishwaji wa mada kuhusu Mifumo mbalimbali ya biashara kwa soko la Jotoardhi, warsha iliyofanyika siku ya tarehe 2 Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau mbalimbali kutoka Kampuni ya Uendelezaji wa
Nishati ya Jotoardhi Tanzania (TGDC), Timu ya Shirika linanoshughulikia masuala
ya Jotoardhi Afrika Mashariki (EAGER), Wizara ya Nishati na Madini pamoja na
TANESCO wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya warsha iliyofanyika siku ya tarehe 2
Septemba, 2015 jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...