Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli (aliyechuchumaa) akiwa kwenye maabara ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam wakati wakati akiwa mwanafunzi mwaka 1985. Dkt Magufuli alisomea Kemia, Hisabati na Elimu. Kupata wasifu wake zaidi BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
Kutoka Maktaba: Dkt John Pombe Magufuli akiwa mwanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kumbe ndugu Raisi mtarajiwa ni teacher (mwalimu).
ReplyDeleteTuone kama mwalimu atakuza elimu.
Hebu tuone kama atakuwa tofauti na walimu wengine. Mwl. Nyerere alitambua umuhimu wa elimu lakini walimu aliwalipa mshahara mdogo kuliko askari polisi. Mwl Mwinyi akendeleza. Na waliofatia.
Kumbe Magufuli ni mwalimu, kuna jamaa aliganga ya kwamba jamaa ni injinia, big up mwalimu maguguli.
ReplyDelete