Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, AbdallaMadebe ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda wake wa Lindi mjini, maarufu kwa jina la Bwege, akibebwa na wananchi baada ya kutangaza kuhamia CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama wengine 38 walihamia CCM.
Wananchi akishangilia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan leo katika eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Katibu wa NEC, Itkadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akimkaribisha jukwaani, Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, AbdallaMadebe
ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda wake wa
Lindi mjini, Maarufu kwa jina la Bwege, wakati alipoamua kutangaza kuhamia CCM, katika
mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi
leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama wengine 38 walihamia CCM.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...